Lyrics

Jina la Yesu latosha kuponya Aliwahurumia walio dhaifu Akawaponya na kutakasa vilema Aliwahurumia walioonewa na Roho waouvu akawaweka huru Kutoka kwenye kifungo cha dhambi Akatupatanisha na baba yake na Mungu wetu
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Get up to 2 months free of Apple Music
instagramSharePathic_arrow_out