Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Kayumba
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Ismail Juma Mandoti
Songwriter
Juma Ramadhani Langu
Songwriter
John David Rubote
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mafeelings
Producer
Independent artist
Producer
TML
Producer
Lyrics
Bye bye ndio neno langu nimekuswafia
Kuondoka ndio nusura yangu kuliko kukumbatia
Sababu nakupenda unajua siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua, nimeridhika na kibuti
Penzi furaha, penzi jeraha
Usijeokota umauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Amini niko tima
Kinitokacho kinywani si haramu
Na mi ni binadamu
Haya maumivu kwa damu
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on, move on
Maana sili hata na usiku silali
Ah najiuliza nini hiki wamekishindwa madakitari
Ah najitedi simama siwezi, mtoto rudi kwa mama
Ashalala simama penzi limenikill nyakanyaka
Ah labda walitaka kuniua
Ama nilikosea kuchagua
Aya kushona mi nikatatua
Asa ndo picha limeungua
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Ah labda walitaka kuniua, kuniua
Haya maumivu kwa damu
Writer(s): Ismail Mandoti
Lyrics powered by www.musixmatch.com