Music Video

Bado Nakungoja
Watch {trackName} music video by {artistName}

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Christina Shusho
Christina Shusho
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Christina Shusho
Christina Shusho
Songwriter

Lyrics

Hapo mwanzo mungu aliziumba mbingu na nchi Nayo nchi ilikuwa ukiwa na utupu Ngiza lilikuwa juu ya vilini vya maji Roho ya bwana ikatulia josho wa maji Mungu akasema iwe nuru ikawa nuru Mungu akaiona nuru ya kuwani njema Mungu akaitenga nuru na ngiza Mungu akaiita nuru mchana giza usiku Mungu akasema na liwe anga, kati ya maji Likatenge maji na maji, mungu akaliita lile anga mbinguni Mungu akapaita pale pakavu nchi Makusanyiko ya maji akayaita bahari Nchi itoayo mbegu kwa jinsi yake Mti uzaao matunda na mbegu zimo ndani yake Mungu akanena kuwa ni vema Mungu akasema na iwe mianga Itenge kati ya mchana na usiku Iwe ndiyo dalili majira, siku na miaka Mungu akasema maji yajawe kwa wingi Ndege waruke juu ya nchi Mungu akaumba nyangumi wakubwa Akisema zaeni mkaongezeke Ndege wazidi katika nchi Mungu akasema nchi na izae kiumbe kwa jinsi yake Mungu akafanya mnyama wa mwitu na wa kufugwa Mungu akasema na tumfanye mtu Kwa mfano wetu na kwa sura yetu Wakawatawale samaki wa baharini na ndege wa angani Wanyama na nchi yote pia na kila kitambaacho Kwa mfano wa mungu aliumba mwanaumme na mwanamke Zamu yangu, nakungoja useme Na Mungu akaona kila alichofanya na atazama, ni njema Bado nakungoja Kila alichosema kikatokea akaona ni njema Bado nakungoja Nami nakungoja, baba nakungoja, useme na moyo Bado nakungoja Ukisema na moyo, natiwa nguvu, nasonga mbele kwa kazi yako Bado nakungoja Sema na kanisa, sema na watu wako baba Bado nakungoja Ukisema leo wagonjwa watapona, ukisema leo matasa watazaa Bado nakungoja Ukisema leo viziwi wasikia, ukisema leo vipofu wataona Bado nakungoja Ukisema leo viwete watembee, ukisema leo mabubu watasema Bado nakungoja Sema na nchi, sema na viongozi, sema na taifa Bado nakungoja Ukisema leo hakuna vita, ukisema leo hakuna magonvi Bado nakungoja Ee bwana kwako wanakuja wote, kila mmoja kwa shida yake Bado nakungoja Wawafanya maskini wawe navyo nao wajitegemee Bado nakungoja Nimetambua kwamba unayo mengi niyaombayo kwako ni machache Bado nakungoja Bado nakingoja unifute machozi, nakungoja unipe mwedo mpya Bado nakungoja Mimi nakungoja utimize ahadi, nakungoja bwana nakungoja Bado nakungoja Baba nakungoja ujibu maombi nakungoja bwana nakungoja Bado nakungoja Baba nakungoja uponye wagonjwa wetu nakungoja baba nakungoja Bado nakungoja Bwana nakungoja uwape matasa watoto, nakungoja Bado nakungoja Mungu, wewe husemi neno kwa kuwa lina ukweli, bali neno lako ni kweli
Writer(s): Christina Shusho Lyrics powered by www.musixmatch.com
Get up to 2 months free of Apple Music
instagramSharePathic_arrow_out