Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Rose Muhando
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Rose Muhando
Songwriter
Lyrics
Nawauliza ninyi sasa mnaojikweza
Hivi kweli mnajua ni nini mwisho wa maisha yenu?
Mmekula, mnakunya lakini mbona hamfikirii?
Majigambo na dharau ni ubatili mtupu
Nawauliza ninyi sasa mnaojikweza
Hivi kweli mnajua ni nini mwisho wa maisha yenu?
Mnakula, mnakunya lakini mbona hamfikirii?
Majigambo na dharau ni ubatili mtupu
Mwawadharau masikini wasiojiweza
Neno lake Bwana Mungu ni upuuzi kwenu
Mwawadharau Wahubiri wanapohubiri
Injili yake Bwana Mungu ni upuuzi kwenu
Eti Mwanjindanganya mwasema "ponda mali, kufa kwaja
Mmebobea kwenye dhambi kama wapumbavu vipofu msioijua njia
Mnayoiendea ... Sasa geukeni
Poleni kwenu sasa kwa kuwa mmehubiriwa
(Furaha) Furaha mliyo nayo itageuka msiba kwenu
(Chakula) Chakula cha anasa kitageuka mwamba wenu
(Tekezeni) tekezeni kwa matajiri mwajipata mwalipwa pesa zenu
(Poleni) poleni kwenu sasa kwa kuwa mmehubiriwa
(Furaha) Furaha mliyo nayo itageuka msiba wenu
(Chakula) Chakula cha anasa kitageuka mwamba wenu
(Tekezeni) tekezeni kwa matajiri mwajipata mwalipwa pesa zenu
(Visambutu)visambu kwa wake zenu wa mashabiki jinsi tabia Eh-h-h-h-h
Walikuwepo matajari kama wewe (wametoweka)
Ni wazuri sana (ili sasa) lakini wako wapi sasa (hawako tena)
Walikuwepo una wasomi kama wewe (wametoweka)
Ni wazuri sana (ili sasa) lakini wako wapi sasa (hawako tena)
Walikuwepo na warembo kama wewe (wametoweka)
Ni wazuri sana (ili sasa) lakini wako wapi sasa (hawako tena)
Walikuwepo kwa waimbaji kama mimi Rose (wametoweka)
Ni wazuri sana (ila sasa) lakini wako wapi leo? (hawako tena)
Lakini Yesu kwa huruma anakubembeleza Yesu eh
Yesu yuko msalabani alisema njooni kwangu
(Nita wasamehe) nita wasamehe dhambi
(Nita beba) nita beba mizigo yenu
(Ogopa) ogopa kitimutimu
(Siku ile) siku ya kunya kuliwa
(Yesu yuko) Yesu yuko msalabani (ma ma ma)
Anasema njooni kwangu
(Nitawasamehe) nitawasamehe dhambi
(Nitabeba) nitabeba mizigo yenu
(Ogopa) ogopa kitimutimu
(Siku ile) siku yakunyakuliwa
Kasheeshe kwa watakaobaki kwenye viti kuu
Dunia hii isikudanganye maman, ah (uelewe)
Anasa zote za dunia(ndugu yangu) ni za muda (halleluyah)
Muamini Yesu Bwana wangu akuokoe (uelewe)
Yeye ni Bwana (ndugu yangu) tena mueza wa yote (halleluhya)
Dunia hii isikudanganye Baba (uelewe)
Anasa za dunia zote (ndugu yangu) zinapitaga (halleluyah)
Muamini Yesu Bwana wangu akusamahe (uelewe)
Yeye ni Bwana (ndugu yangu) tena mueza wa yote (halleluhya)
Tazama Yesu kwa huruma anakubembeleza Yesu eh
Yesu yupo msalabani (ma ma ma)
Anasema njooni kwangu
(Nitawasamehe) nitawasamehe dhambi
(Nitabeba) nitabeba mizigo yenu
(Ogopa) ogopa kitimutimu
(Siku ile) siku yakunyakuliwa
(Yesu yupo) Yesu yupo msalabani (ma ma ma)
Anasema njooni kwangu
(Nitawasamehe) nitawasamehe dhambi
(Nitabeba) nitabeba mizigo yenu
(Ogopa) ogopa kitimutimu
(Siku ile) siku yakunyakuliwa
Kasheeshe kwa watakaobaki kwenye viti kuu
Lyrics powered by www.musixmatch.com