Top Songs By Whozu
Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Oscar Lelo John
Songwriter
Lyrics
Estukiz bebi
Nainua mkono mama
Moyo wangu mweupe
Ishara ya mapenzi mama
Too much money
Mi amor mi amor
Bebi sinzia kifuani fofo
Tega leo zamu yako
Naipani kamia yako show
Hakuna kuomba poo
Tunayofanya chumbani usiweke hadharani wakaona
Kwako mimi abadani tena sishindani, nimekoma
Usiniweke saizi ya kidumu labda kwenye ndooo
Mimi kwako kama mchungaji we ndo kondoo
Nikikwo nikikwo nikikwona nahisi raha
Kama mgonjwa napona
Aiii mama najidekeza, najitamba kwako
Nikikwona nahisi raha
Kama mgonjwa napona
Aiii mama najidekeza, najitamba kwako
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Nitazame bebi nishike shingoni
Yako mipapaso maruhani
Nikumbate unaponikisi mdomoni
Nilichoonja kwako sikitemi
Mie natamani leo mpaka kesho tusije gombanaa
Toka zamani niko nawe, kufa kufaana
Ooh bebi
Usiniweke saizi ya kidumu labda kwenye ndoo
Mimi kwako kama mchungaji wewe ndo kondoo
Nikikwo nikikwo nikikwona nahisi raha
Kama mgonjwa napona
Aiii mama najidekeza, najitamba kwako
Nikikwona nahisi raha
Ka mgonjwa napona
Aiii mama najidekeza, najitamba kwako
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Mi amor. mi amor
Nainua mkono mama
Moyo wangu mweupe
Ishara ya mapenzi mama
Mi amir mi amor
Writer(s): Salim Kassim Maengo, Oscar John Lelo
Lyrics powered by www.musixmatch.com