Credits
COMPOSITION & LYRICS
UNCO JING JONG
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
This Is Sui$de
Producer
24k Visuals
Producer
Lyrics
Unaningora
Ukinibeba ndogo ni zogo
Unaningora
Ukinipiga monkey unabaki
Unaningora
Kuna wa kushandwa-kumadwa
Wakiningora
Kuna wa kupangwa, kugandwa na wa kuporwa...
Wawawawawa unaningora wawawawawa
Unaningora
Wawawawawa
Joh we unaningora
Iki kinaningora na sipendi kungorwa
Kuna ufala sipendi kaa za kula gode mbogi
Heri nijisunde nikakule solo nyongi
Kwanza na corona peleka uko udogi
Hii chain haisongi... huonji na huonji ngo
Enda uko ukakule manzi yako ongongo
Tukifika apa tunapunguzanga mdomo
Usitukule akili hatujakuja masomo
Nyonyonyonyo nyokonyoko punguzanga utoto
Tunang'orana ni kama unataka kula gwanda (Gwandaaa)
Aka ni kama kanataka kugandwaa (Gandwaaa)
Aiii!!! Si mnishike aka nitakamada (Madaaa)
Ushai skia kunyamba kaa kwanza unaharaaa (Ayaaaaayaaahh)
Unaningora
Ukinibeba ndogo ni zogo
Unaningora
Ukinipiga monkey unabaki
Unaningora
Kuna wa kushandwa-kumadwa
Wakiningora
Kuna wa kupangwa, kugandwa na wa kuporwa...
Wawawawawa unaningora wawawawawa
Unaningora
Wawawawawa
Joh we unaningora
Iki kinaningora na sipendi kungorwa
Ju nakulanga magode nikiwa madudu
Ivo ndo niligeuka kijana mtundu
Nguvu ya kuvuruga watu na machungu
Ndugu mi si wa kusamehe mi si mungu
Ju moi alinyuria akaniachia rungu
Nikimaliza kunyia ndo ntadeal na manugu
Kuna vitu sipendi kaa tabia za upunju
Kaa kumumunya njugu na kunyimana munju
Ju nakungoraaa... what you gonna do now
Ju nakungoraaa... what you gonna dooooooo
Unaningora
Ukinibeba ndogo ni zogo
Unaningora
Ukinipiga monkey unabaki
Unaningora
Kuna wa kushandwa-kumadwa
Wakiningora
Kuna wa kupangwa, kugandwa na wa kuporwa...
Wawawawawa unaningora wawawawawa
Unaningora
Wawawawawa
Joh we unaningora
Iki kinaningora na sipendi kungorwa
Writer(s): Unco Jong
Lyrics powered by www.musixmatch.com