Credits

PERFORMING ARTISTS
Dr. Ipyana Peter Kibona
Dr. Ipyana Peter Kibona
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Dr. Ipyana
Dr. Ipyana
Songwriter

Lyrics

Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui utendavyo, Sijui ufanyavyo Kile nachojua, ukiamrisha vinakamilika Yes LORD, We are here, just to declare your word Ulichosema kule BWANA kwenye maombi yaliyopita, Tunaamini eeh BWANA kwa neno lako Yeeh eeeh. Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Unaweza yote, Unaweza yote Kile nachojua, ukiamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Yeeh eeeh. BWANA tunakuamini, Neno lako ni mwanga Neno lako ni taa ya miguu yangu, Oooh, oooh Nataka mtamke Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Sijui ufanyavyo, Sijui utendavyo Kile nachojua, umeamrisha vinakamilika Hallelujah...
Writer(s): Dr. Ipyana Kibona Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out