Top Songs By Uinjilisti Kijitonyama Choir
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Uinjilisti Kijitonyama Choir
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Uinjilisti Kijitonyama Choir
Songwriter
Lyrics
Mungu kwetu ni kimbilio wakati wa shida
Msaada uonekanao wakati mateso
Mungu kwetu ni kimbilio wakati wa shida
Msaada uonekanao wakati mateso
SOLO1
Wapendwa na tuamini kwamba Mungu wetu tupo
Tena anayajua majira na nyakati hizi
Wapendwa na tuamini kwamba Mungu wetu tupo
Tena anayajua majira na nyakati hizi
SOLO2
Hakuna jambo linalotokea kwa bahati tu
Bali kila majira kuna kusudi la Mungu
(Majira haya Mungu baba)
Mungu umeisimamisha dunia kwa nguvu zako
Umezinyamazisha ndimi zetu umefunga midomo yetu
Na mbio za miguu yetu
(Taratibu za maisha)
Zimebadilika hata taratibu za kukuabudu wewe Mungu zimebadilika pia
SOLO 3
Wewe hulali wala husinzii
Unaujua mwanzo wetu hata mwisho wetu
Wewe hulali wala husinzii
Unaujua mwanzo wetu hata mwisho wetu
SOLO 4
Kimbilio letu tumaini li kwako eeh Mungu
Maana ufahamu wetu na akili
Vimefika mwisho.
Nguvu na mamlaka za dunia haziwezi kamwe
Sayansi maarifa haviwezi kushindana nawee yahweh
Tuvushe tuvuke katika mapito
Kama ulivyowavusha wana Israeli katika bahari ya shamu
Tuvushe tuvuke katika mapito
Kama ulivyowavusha wana Israeli katika bahari ya shamu
SOLO 5
Bado lipo tumaini kwa kila aaminie
Lipo tumaini
Bado lipo tumaini kwa kila aaminie
Lipo tumaini
(Kwa Yesu)
Kwako lipo tumaini, kwako
(Kwako Bwana hatubanduki)
Kwako lipo tumaini, kwako
(Matatibu wanatibu lakini)
Kwako (Yesu) lipo tumaini, kwako
(Uponyaye ni wewe Bwana)
Kwako lipo tumaini, kwako
(Dunia yote mikononi mwako)
Lyrics powered by www.musixmatch.com