Lyrics

I just talk to nobody Oooh yeah Nikiwa nawe sipatikani Don't you know that Nitashika jembe niende shambani Kwako we Wala sitaki kuku udhi mwandani Now you know that Ooh baby nataka niku pendelee It's you baby you're the one that i need now In my mind Kipekee mapenzi yetu tuendelee Usinitese because I don't want to loose you Ooh right now Usijefanya makosa Moyo wangu utau umiza nikikukosa Ooh na na na yeah Upendo wangu utakoma Kama upepo wa kimbunga ukipuliza mapema Ooh na na na Baby come closer yeah Come closer Baby come closer yeah Kwa ukaribu tu Baby come closer yeah Come closer Baby come closer yeah hiii Hauna kasoro Mimi ni wako leo na tomorrow Sikukupata kwa chochoro baby understand Understand Tusijepasha kiporo Cha upendo wangu mi na wewe Baby wanatazama macho kodo Yeah understand understand Uzuri wakupata Sio uzuri wa kutumia Check mi nimekupata Nitakuthamini kama rupia Kweli kwako nishanasa Wengine wanarukia Baby swadakta Unavyonipenda nakupenda pia Usijefanya makosa Moyo wangu utau umiza nikikukosa Ooh na na na yeah Upendo wangu utakoma Kama upepo wa kimbunga ukipuliza mapema Ooh na na na Baby come closer yeah Come closer Baby come closer yeah Kwa ukaribu tu Baby come closer yeah Come closer Baby come closer yeah hiii
Writer(s): Moe Dalz Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out