Top Songs By Mr.Tz
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Jumbe Hamza
Songwriter
Lyrics
Machozi mashavuni yalitiririka, maumivu tele moyoni
Sikujua ka yatafutika, ni wewe
Umekuja kuniokota tena ni wewe heiya ah
Nilipotoka hakujali moyo wangu
Nilipotoka alichezea akili yangu
Nilipotoka hakujali hisia zangu
Nilipotoka niliumia peke yangu
Lakini
Umefuta wee maumivu, umeponya wee maumivu
Mi kwako wewe
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Mi kwako wewe
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
My baby leave that all up in the past girl
Issa new leaf, new lovin', new world
I give you mo kisses, mo touches indoors
And we stay lowkey cause of the evil eye girl
Unalinda moyo wangu we
Chandarua
Nikikuona moyo unapasuka
Uwe bustani wangu girl na maua
Wanimulika moyo zaidi ya jua
Baby
Sitaki mapenzi na chakubimbi
Ni mimi na wewe na wewe na mimi
MahChi hii ni Chimah wa Mwana wa Kyambi
Au Mrs.Tz, mnabisha na mi?
Ah si kasema mwenywe
Mechi hii mi ni bingwa
Alipotoka hiyo ni draw
Mpenzi tuimbe tucheze
Tule hizi raha, mapenzi unkuwepacable
Najua maumivu nimefuta
Let me hold you girl
Two step with my Queen all across the world
It's international, I'm a natural
I came to blow a kiss, while she sing the song
Mi kwako wewe
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Mi kwako wewe
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love
Nimefall in love.
Writer(s): Jumbe Hamza
Lyrics powered by www.musixmatch.com