Top Songs By Bunta King
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Derick caesar obeid
Composer
Lyrics
Hey!
Hey!
Hey ee!
(Fresh)
Nipishe ni move move move move nipite man
Ama nipite wewe kama kimbunga nisepe nawe
Kamata karatasi ongeza more na more
Budah natafuta boda ukiona nanyooka vichakani
Move move
Juu juu
Move move
Juu juu
Move move
Juu juu, move
Budah natafuta boda ukiona nanyooka vichakani
Ukweli ni kwamba siwezi kusita
Siwezi kuacha ipite iyo hela(hela)
Toka kitambo nafanya hizi mishe
Na kama haina dili naipiga calenda(huh)
Mkono una rado nawaza tu mida
I picked a side nkachagua kuwa winner
Sitoshi kwa balance badili mizani(switch)
Huoni kuwa nigga nazidi kuwa bigger
Nalenga shaba hata ka nabahatisha(wow)
Navuta picha hapana adui wa kunitisha
Najiona ka steven seagal(puh puh)
Uncle kataka niache kufanya huu mziki
Anadai hii njia haina uhakika (jyeah)
Uncle kadata alivyonsikia kwa spika
Ngoma ikipigwa anatingisha kichwa
Naulizwa what im upto?
Nacheza na anga najiona wa blue(blue)
Mboni ina focus ka macho ya kichina
Nikwepe mawe mahater wame threw
Ziba kwa juu napita kwa chini
Ukiziba kwa chini nishapenya through
I took the loss ili nirudi round two
Natufuna hii game na naitema like pytu pytu pytuu!!
Nipishe ni move move move move nipite man
Ama nipite wewe kama kimbunga nisepe nawe (khii!)
Kamata karatasi ongeza more na more (dough)
Budah natafuta boda ukiona nanyooka vichakani
Move move
Juu juu
Move(lemmi go) move
Juu juuu
Move move
Juu juu, move
Budah natafuta boda ukiona nanyooka vichakani(haah!)
Move move
Juu juu
Move(bunta)(kyea! kyea!) move
Juu juu(gimmie that)
Move(bunta)move
Juu juu, move (twende twende)
Budah natafuta boda ukiona nanyooka vichakani
Yay caution (caution)
Nishachanganya mazaga ka navyochanganya cocktail (ay)
'Ngeweza kufanya easy ila nachokikosa ni patience(weh)
AKA punda ukinisogelea nyuma utakumbwa na teke
(Damn right)
Its a new wave weka dundo down uone nivyoball ay!
Ona nina dribble kama messi
Ona nina dribble ka messi
Nina share kubwa kwenye keki fanya umuombe Mungu awe na mercy(mercy)
Nina upendo kwa these niggaz ila huh huh
I dont play with these niggaz(nigga)
260 speed mpaka kero
Unaeza niita dominic toretto(vuum!)
Ondoa kuta kabla sijasababisha upenyo
Nashauri uni-(huh!) epuke kama pepo(baow baow baow)
Ongeza chapter kwenye page kila hatua dua
Nazidi ongeza pace(bless)
Chini ya crown everyday
Niggaz wananiita king, funga case
(King)
Writer(s): Derick Obeid
Lyrics powered by www.musixmatch.com