Lyrics

Aanh Yeah Right Go busy Get harder make Money die rich men Ahaha Hunters records Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah yeah we gotta gotta make maney nigger Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger Nipate kwenye game Niite mr whyne Usini blame go faster ndo my real name Nataka kua fame Na kuwin madem so kwenye hili game kamwe usiniblame Tumetoka mbali eeh Mziki ni safari heh Hapa nilipo si zari nkisaka mali heh Busy busy everyday Mishemishe on the way We gotta cash babe but cashbae Usiniblame kwenye rap mi na fly Me napenda zaidi tu kupiga juu na swaga Ndo maana wengi wa sikuhizi hua wanasaga Wakiona vile mtaani mi hua nakaaga men Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah yeah we gotta gotta make maney nigger Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger Everyday mnaskiza kwa maredio Nasasa nataka mnicheki kwa mavideo Nimetuliza ma producer wangu hamso And this is how we do (We taking over) Kushinda na mi nikama walking over Ama umwambia paster aseme jehova Nimesha toka na kurudi nyuma never Nawakilisha hiphop forever and ever Kama mseto na tuva Mlevi na hangover tunda la kati na ever Ama police na jazba yeah they gotta see me shine nigger yeah This is how we do (We taking over) Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah yeah we gotta gotta make maney nigger Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger Everyday si tuko busy tunasaka money kichizee Hamso men niko na whyne tunasaka money Everyday tuko busy busy tunasakanya money kichize Hamso men nipo na whyne tunasakanya money Wako wapi walosema mziki haulipi Mbona Everyday nawapita nikipiga pippip Hawachoki kusema mchizi wetu hatuendi mbali hebu please tupe lifti Mstari yangu kama vile water kwenye tap Ndo maana mafans wangu wote wana clap Easy come easy go hivo ndo me mchizi na flow sipendi hawa ma bisho kwenye game Wananipaa Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah yeah we gotta gotta make maney nigger Walitaka kutuona Lakini sisi bado Tunashine Everyday we make the money Aah Yeah we gotta gotta gotta make maney nigger
Writer(s): Abdalla Chidyanga Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out