Lyrics

Aiye aiyo ooh Tangu mtoto nimesikia sifa za jina la yesu, ametukuka sana Tangu mtoto nimesikia sifa za jina la yesu ametukuka sana Atatukiimba atuwezi maliza sifa zake yesu ametukuka bwana Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Nani anaweza imba sifa zake akamaliza bwana Nani ahimbe sifa zake amalize zote Ufahamu wake uko juu sana Hakili zake azichunguziki Yeye ni mungu, Mungu mwenye haki Yeye ni kisima cha maji ya uzima Yeye ni kisima cha maji ya uzima Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Nikubwa sana, tunatangaza kubwa sana jina lake Jina lake nikubwa sana eeh Tunasema kubwa sana jina lake Watu wenye majina lakini ayawezi kuponya Jina lake laponya bwana yesu Wapo wenye majina ayawezi kuponya magonjwa Jina lake laponya bwana wangu Wana majina ayawezi kusamehe dhambi Jina lake lasamehe bwana eeh Jina bwana Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Ni kubwa sana, tunatangaza kubwa sana eeh Jina lake nikubwa sana eeh Tunasema kubwa sana jina lake eeh Bwana bwana, bwana aah Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu Jina lake nikubwa sana Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Aiye aiye bwana ehh Tangu mtoto nimesikia sifa za jina la yesu ametukuka sana Tangu mtoto nimesikia sifa za jina la yesu ametukuka sana Atakuimba atuwezi maliza sifa zake yesu ametukuka bwana Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Ni kubwa sana, tunatangaza kubwa sana jina lake Jina lake nikubwa sana eeh Tunasema kubwa sana jina lake Nani anaweza imba sifa zake akamaliza bwana Nani ahimbe sifa zake amalize zote Ufahamu wake uko juu sana Hakili zake azichunguziki Yeye ni mungu Mungu mwenye haki Yeye ni kisima cha maji ya uzima Yeye ni kisima cha maji ya uzima Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu Jina lake nikubwa sana eeh Jina lake nikubwa Mungu wetu ooh Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Nikubwa sana, tunatangaza kubwa sana jina lake Jina lake nikubwa sana eeh Tunasema kubwa sana jina lake Bwana bwana, bwana bwana Bwana bwana, bwana bwana Jina lake nikubwa sana eeh Nikubwa sana, tunatangaza kubwa sana jina lake Jina lake nikubwa sana eeh Tunasema kubwa sana jina lake
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out