Lyrics

Sambolera mayi son (Khadja Nin/Kevin Mulligan) Duniya ile Sambolera Oh! wanayijifondeya Duniya yetu Sambolera Mbona wazimu... mayi Watu wa duniya Sambolera Oh! wanajisondeka Siyo wa mungu Sambolera Oh! ni watu... mayi Watu wabaya Sambolera Oh! hawana uluma Wanasema ji sema Sambolera Duniya ni yao... mayi Mungu akipenda Sambolera Oh! watagukumbuka Wakupe njiya Sambolera Oh! ujaribu Mbele ya mungu Sambolera Oh! watajibu aje? Watasema ju ya au ya mungu Wameuwa corazon Oh! guerre ya mungu gani? Oh! guerre ya rangi gani? Oh! guerre rangi ya damu Rangi ya damu Rangi ni moja Damu ni mingi Sambolera Oh! wanatesa watu Ju mutu umoja Sambolera Oh! akitaka... mayi Ni vita... son Waca waseme Sambolera Oh! mayisha yako mbele Watasema waseme Sambolera Alakini corazon Usitubiye Ngoyela... son Mayele Oh! Oh! Oh! Iye! Iye! Iye! Ule wazimu usi wuogope... son
Writer(s): Nin Khadja, Kevin Joseph Mulligan Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out