Similar Songs
Lyrics
Yo Alex, Benachi
Na Kaberere
Sawa sawa
Usione nimechakaa, unitilie dharau
Mimi binadamu, uuuh umesahau
Unaishi kwa dhamani, ninaishi kwa imani
Mbele zako mimi sina haki
Mbele zake mimi ni mwenye hadhi, iii
Fahamu kuwa mola ndiye aliyeniumba mimi na wewe
Fahamu kuwa mola ndiye aliyeniumba mimi na wewe, eh, eh
Mi ni mwanake, usiku nitalala
Mbele zake maulana, sote tuko sawa
Mi ni mwanake, usiku nitalala (Usiku nitalala)
Mbele zake maulana (mbele zake), sote tuko sawa
Ulinipuuza mie, eti sifai kuwa nawe
Uliniona mie, eti hatia kula nawe
Sahani moja, tulipotiliwa chakula, ah, ah
Nyumba moja, tulipofaa kuishi pamoja, Ah, Ah
Wema wake, taji la upendo juu yangu
Ndani yake vikubwa na uoga vyote hupewa kimya...
Mi ni mwanake, usiku nitalala (Usiku nitalala)
Mbele zake maulana, sote tuko sawa
Mi ni mwanake, usiku nitalala (Usiku nitalala)
Mbele zake maulana (mbele zake), sote tuko sawa
Ulinipuuza mie, oh, oh, oh
Sahani moja, oh, oh, oh
Nyumba moja, oh, oh, oh
Oh, oh, oh
Mi ni mwanake (minimwake), usiku nitalala (Oh nitalala)
Mbele zake maulana, sote tuko sawa
Mi ni mwanake, usiku nitalala (Usiku nitalala)
Mbele zake maulana (tupo sawa), sote tuko sawa
Mi ni mwanake (ooh), usiku nitalala (Ooh)
Mbele zake maulana, sote tuko sawa
Mi ni mwanake (minimwanake), usiku nitalala (Ooh nitalala)
Mbele zake maulana (tupo sawa), sote tuko sawa
Usiku nitalala, mbele zake
Mi ni mtoto wake, mi ni toto lake
Usiku nitalala nitangorota
Nitajifunika gubi gubi, nitangorota
Sitaamka
Sababu wewe haunipendi, nitalala sana
Mimi mwanake, chako ni changu
Oooh, sote tuko sawa
Lyrics powered by www.musixmatch.com