Lyrics

Bado nalilia upendo oooh Na moyo wangu na hisi niliumbwa kukupenda Ila cjui ni nn kilichonitokea Na hayakuwa malengo kuumiza roho ya mwezangu... Mi naogopa sana yote ni majaribu Bado ni yangu ridhiki moyo unasema, Naipata taabu... Usikumbuke mabaya kumbuka na mema, Mwanamke akipenda wee, Ujue kama nishakwenda, anaweza kujiuwa wee, ukicheza na hisia zake. Mola ninusuru wee nilichotenda si busara haikuwa kikwakee, naomba nijaribu na ya mwisho nafasi... Na nimerudi... Naomba nisamehe Nifanye nn nisamehe nifanye nn kwako wee nieleze mimerudi mama... Baby unajua unajua wewe nakupenda mpaka mi sijielewi wewe i want you back am sorry baby mi sina alichopata nilikotoka baby ukiniona mashaka tele, ugomvi kutwa nzima hata na mahaba nzima siwezi nimetoroka nikakosa na maraha tele, ya kwako nimekumbuka kudeka na kubembelezwa ninapo kasirika ole ooh ole ooh ooh mwenzako nifanye nini nisame nifanye nini kwako wee nifanye nini nielezee
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out