Lyrics

Kama boss juu ya salio Kama boss juu ya cash Kama boss juu ya mkwanja Na niko true sina wasi Na kikosi cha marasi Na kikosi cha manyasi I got police on my ganja Wauni wanasizi mpaka basi Yeah men i'm ready to kill some body Koz unajua kuwa hari sio shwari Nitakuvunja mguu unipe mali Hata mashori wanatambua kuwa si' hatari Ukifika mtaani nigga ulizia code Na kunipata sio rahisi Tukiwa chimbo tuna roll ile kibishi na wazawa Na bodyguard ka' komando arnold Ukitaka beef njo na police My ninjaz wako ready wanasubiri tu kauri ya kontawa Na mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa tawa Mi ndo kontawa Na mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa tawa Mi ndo kontawa Mi ndo sio coward Mi ndo sio chawa You go ask about me sio poa, they'll tell yah Ukiona kama hatuna pesa tuko maskani Skank zinamokwa, kama udachini Mi stembei na mabouncer mi nna maaskari We zingua uone fasta unashughurikiwa vizuri I'm the boss, I'm the one who pay the cost Bill shi ngapi, you don't wanna know the cost Mi ndo tegemeo la wana wakikamatwa na police Kama beef we're gonna pull up any place sio case Tunavyoishi ndani ya jungle Utapata shida ukianika mipango bayana Kikosi kazi zaidi ya rambo Na ukituona mpaka sura zimefanana Hata wadisi, tunasaka pesa My ninjas wabishi, kisha tunashesha I tell you what else, kama ukijileta Utatuachia wallet wallet Ukifika mtaani nigga ulizia code Na kunipata sio rahisi Tukiwa chimbo tuna roll ile kibishi na wazawa Na bodyguard ka' komando arnold Ukitaka beef njo na police My ninjaz wako ready wanasubiri tu kauri ya kontawa Na mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa tawa Mi ndo kontawa Na mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa Mi ndo kontawa tawa If you wanna know me go talk If u get my tingz get pow If you wanna know me go talk Pow If you wanna know me go talk If u get my tingz get pow If you wanna know me go talk Pow
Writer(s): Jay Moe Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out