Credits
COMPOSITION & LYRICS
Drama Boi
Songwriter
Lyrics
Kama boss juu ya salio
Kama boss juu ya cash
Kama boss juu ya mkwanja
Na niko true sina wasi
Na kikosi cha marasi
Na kikosi cha manyasi
I got police on my ganja
Wauni wanasizi mpaka basi
Yeah men i'm ready to kill some body
Koz unajua kuwa hari sio shwari
Nitakuvunja mguu unipe mali
Hata mashori wanatambua kuwa si' hatari
Ukifika mtaani nigga ulizia code
Na kunipata sio rahisi
Tukiwa chimbo tuna roll ile kibishi na wazawa
Na bodyguard ka' komando arnold
Ukitaka beef njo na police
My ninjaz wako ready wanasubiri tu kauri ya kontawa
Na mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa tawa
Mi ndo kontawa
Na mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa tawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo sio coward
Mi ndo sio chawa
You go ask about me sio poa, they'll tell yah
Ukiona kama hatuna pesa tuko maskani
Skank zinamokwa, kama udachini
Mi stembei na mabouncer mi nna maaskari
We zingua uone fasta unashughurikiwa vizuri
I'm the boss, I'm the one who pay the cost
Bill shi ngapi, you don't wanna know the cost
Mi ndo tegemeo la wana wakikamatwa na police
Kama beef we're gonna pull up any place sio case
Tunavyoishi ndani ya jungle
Utapata shida ukianika mipango bayana
Kikosi kazi zaidi ya rambo
Na ukituona mpaka sura zimefanana
Hata wadisi, tunasaka pesa
My ninjas wabishi, kisha tunashesha
I tell you what else, kama ukijileta
Utatuachia wallet wallet
Ukifika mtaani nigga ulizia code
Na kunipata sio rahisi
Tukiwa chimbo tuna roll ile kibishi na wazawa
Na bodyguard ka' komando arnold
Ukitaka beef njo na police
My ninjaz wako ready wanasubiri tu kauri ya kontawa
Na mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa tawa
Mi ndo kontawa
Na mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa
Mi ndo kontawa tawa
If you wanna know me go talk
If u get my tingz get pow
If you wanna know me go talk
Pow
If you wanna know me go talk
If u get my tingz get pow
If you wanna know me go talk
Pow
Writer(s): Jay Moe
Lyrics powered by www.musixmatch.com