Top Songs By Belle 9
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Belle 9
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Abelnego Nyamonga
Songwriter
Lyrics
Eh-eh, eh-eh, eh-eh, iye (faster)
Oh, oh-whoa (Moe Gangsta)
Nilipe nisepe, nilipe nisepe
Nilipe nisepe, nilipe
Uliniahidi baada ya wiki mbili, sasa yapita miezi mitano
Pesa zangu ni zaidi ya laki mbili, hujanirudishia hata senti tano
Sitaki kuamini we tapeli ila upo nje ya makubaliano
Kama huna useme mi' nijue nafanyaje
Unataka tusielewane
Kizimbani tufikishane
Eti sababu ya money
Wakati mi' na wewe na majirani
Unataka tusielewane
Kizimbani tufikishane
Eti sababu ya money
Wakati mi' na wewe na majirani
Nikusema unanikimbia? Ama
Nini unafikilia jamaa?
Baada ya kukusaidia
Wakati watu wanategemewa
Nikusema unanikimbia? Ama
Nini unafikilia jamaa?
Baada ya kukusaidia
Wakati watu wanategemewa
Wewe, wewe, we' eh, iye (faster)
We' eh, iye (faster), nilipe
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu mi' na ndugu zako
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu na rafiki zako
Wakati unataka msaada
Tuliandikishiana shahidi mwenyekiti
Hivi sasa ukiniona unanikwepa
Unasepa ina maana hunilipi?
Unataka tusielewane (faster)
Kizimbani tufikishane (faster)
Eti sababu ya money (faster)
Wakati mi' na we ni majirani
Tuseme unanikimbia? Ama
Nini unafikilia jamaa? Aah (oh, oh whoa)
Nikusema unanikimbia? Ama
Nini unafikilia jamaa?
Baada ya kukusaidia
Wakati watu wanategemewa
Nikusema unanikimbia? Ama
Nini unafikilia jamaa?
Baada ya kukusaidia
Wakati watu wanategemewa
Ubinadamu kazi (kazi)
Bora umfadhili mbuzi (mbuzi)
Utamla mchuzi
Binadamu ana mauzi
Ubinadamu kazi wewe (wewe)
Bora umfadhili mbuzi yeye (yeye)
Utamla mchuzi
Binadamu ana mauzi
Tuseme unanikimbia? Mbona
Simu unanizimia jamaa?
Nilipe nisepe faster
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe faster
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe (faster)
Nilipe nisepe faster
Lyrics powered by www.musixmatch.com