Similar Songs
Lyrics
The baddest
Macho yangu hayana pazia
Yamekuona wewe,mchumba wewe
Moyo wangu ushakuzimia,nakupenda wewe,mpenzi wewe
Nasiunajua baby tukifani peponi
Mabaya siyaoni we hauna dhambi ye
Kama ukiniacha mwenzako bila wewe
Imani itanitoka siunajua nakutiii
Naapa kwa shida na raha mina wewe
Naapa kwa shida na raha milele
Basi tuyafanye marudio mèche langu tulio ah
Nipe lako sikio ah
Nakupenda jamani
Nasiunajua moyo wangu haukuwa haikuguza kidonda
Ikitokea raha nitakuomba mi mwenzako nakupenda penda
Au labda mali zangu nikupe moyo wako kila kitu napenda
Moyo wako mimi napenda
Niko tayari nitatenda tendaaaa
Nasiunajua baby tukifani peponi
Mabaya siyaoni we hauna dhambi ye
Kama ukiniacha mwenzako bila wewe
Imani itanitoka siunajua nakutiii
Naapa kwa shida na raha mi na wewe
Naapa kwa shida na raha milele
Naapa kwa shida mi na wewe
Naapa kwa shida milele
Lyrics powered by www.musixmatch.com