Lyrics
Yea
Kuzza Flex
Yeaaaaayaaa (Spesso)
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda chap
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda chap
Naenda Chap
Nageuka Chap
Chap
Nishaingiza ma guap
Chap
Nishafika on top
Chap
They already want me to drop
Siwezi kustop
Siwezi kuflop
Big Smoke always ready to pop
Big Check always ready kushop
Big Drip inabidi wadeki na mop
Yeaaa
Nawashika kidogo af nawaachia
Wakianguka chini nawakanyagia
Walinivimbia
Nlikua naumia nllikua naumia
Yea
Wao wanatoka me ndo naingia
Niseme ukweli niliwapania
Walikua wanabana sa wameachia
Sa wameachia
Uhh
Wameisha
Ni zamu yangu sasa ya Kutisha
Nishauamisha mpila wanangu wanao na wanasababisha
Nahahakikisha namalizia chochote ambacho naanzisha
Nshawaimbisha ngoma kibao hii nyingine spesso katisha
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda chap
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda Chap
Yah Sijali ukinipenda
Usiponipenda
I just go for mine
I just got online
I just grrr bao paah
Then im much fine
Navunja ukuta
Navunja ukimya
Kama ukiwa barrier
I break their spine
So usije leta ushwine
Bora ulete kush and wine
Me ni divine
Waking up early niende kwa job
I dont wanna stay broke naitaji money
Natoka nonstop watu wanaflop
Imma get to the top hainaga utani
Mama alishasema me ni star
Na ndo maana Nlishaanza kuonekana tokeaga gizani
Natembea toka natambaa Godamn
Me ni alien so usije niulize me ni nani
Mpila natuliza gambani
Kila nikishoot kambani
Kila nikishoot
Watu wanakufa right on the spot
Im done
Kama hunipendi haki ya nani
Usije niulize me ni nani
Niko na ubani
Pluto ni mazombie mashetani
Chunga usije kupoteza imani
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda chap
Ukiwa vizuri watakupenda
Ukiwa vibaya watakutenga
Ndo maisha yanavyokwenda
Pesa ndo the main Agenda
Kila siku ya Kalenda
Tunatafuta tender
Haijalishi saa ngapi
Wapi
Ilimadi nalipwa guap
Naenda chap
Lyrics powered by www.musixmatch.com