Top Songs By Dominick DM7
Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Yamoto Band
Songwriter
Lyrics
Asala baba yule
Sadiki baba yule
Shukuru baba yule
Babah Baba
Ale baba huyo
Katoka kazini zawadi mkononi
Kaleta na ungo 2x
Tusipate taabu ya kupeta mchele
Ale baba umerudi
Nipe soda nikaringishe UKO NJE
Amina, Sarai walilie na mimi niringe nitambe
Ila baba mama na mjomba jitu wamepiga
Wamemwaga maji kitandani mwako na shuka wamechana
Ila baba mama na mjomba jitu wamepiga
Wamemwaga maji kitandani mwako na shuka wamechana
Nililia sanaaaaahhahh
Daddy kwany Shabani mwanao alaliaga kifua cha mama
Kwani na yule mwanao
Acha anko Mangi yule banda la video
Anapendaga kujaga usiku
Kwani yule ni ndugu huyo
Tena daddy ukitoka na Mangi anaingia
Ananiletea bazoka na pesa yakutumia
Ila Shabani simpendi
Apendi kunipa hela
Kazi kumpiga mama na pesa anachukua
Wanakaa sirisiri(wakionana)
Kwenye mabano(wanachofanya)
Ata nipiga(nikikwambia)
Alisha semaaaa
Wanakaa sirisiri(wakionana)
Kwenye mabano(wanachofanya)
Ata nipiga(nikikwambia)
Alisha sema mama
Niseme nisiseme(sema)
Ohh niseme ohh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Aaah niseme ohh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Ohh niseme ohh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Aaah niseme ohh(sema)
Eshima kwako baba
Vipi maputo na pipi
Umeniletea duku la mikaba
Unapo toka ridhiki
Kututafutia ohh baba ohh
Unapo kwenda kazini
Huja mgeni(fupi kimo)
Ana mandevu ka Osama
Sijui nani(ila bishoo)
Anakujaga nyumbani kufata nini(kambilikimo)
Mama kaniambia nimwite anko Johni
Uuuhh uh yeye uh yeye ahhn
Mbona leo Baba uko Mama uko
Mi nataka niongee
Kuna jambo lani tatizaga panyuma ukiondoka babae
Uuuhh uh yeye uh yeye ahhn
Mbona leo Baba uko Mama uko
Mi nataka niongee
Kuna jambo lani tatizaga panyuma ukiondoka babae
Mwenzako mama ananitumaga chakula nipeleke gengeni
Pale kwa mzee kutafuna
Hapakati sijui kuna jambo gani
Sikunyingine natumwaga lazaga
Kama nyanya na vitungu
Sikunyine ni pesa napewaga
Nipeleke kwa mama
Sikunyingine napewaga lazaga
Kama nyanya na vitungu
Sikunyine ni pesa napewaga
Nipeleke kwa mama
Ieh iehh aaahh
Niseme nisiseme(sema)
Ohh niseme ohh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Aaah niseme ohh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Niseme ohhh(sema)
Niseme nisiseme(sema)
Aaah niseme ohh(sema)
Lyrics powered by www.musixmatch.com