Top Songs By Dominick DM7
Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Yamoto Band
Songwriter
Lyrics
Yamoto, yamoto band (uh yeah yeah yeah)
Yamoto, yamoto band
Ah mkubwa na wanawe
Yamoto, yamoto band (oh)
Yamoto, yamoto band, yamoto band
Kazini niende nirudi na sembe robo
Nachotaka unipende nipunguze wenge jogoo
Waepuke wapambe wasilete mbwembwe mgongo
Kwa maneno ya wembe wakate na ngede fujo (ooh)
Moyo wa chuma sina, usije nipata tabu
Ongeza penzi kwa kina, jumuisha na wivu
Moyo wa chuma sina, usije nipata tabu
Ongeza penzi kwa kina, jumuisha na wivu
Achana nao wanaopiga majungu (ah ah)
Skeno mpya mi natoka na mzungu (ah ah)
Nipende mimi wengine kwako wachunge (ah ah)
Tumetoka mbali, ugali na karusungu
Nasema nipe mene, nipe leme, nachotaka yetu siyasonge
Tuwaache wapige kelele ai nabado sio yaende
Nipe mene, nipe leme, nachotaka yetu siyasonge
Tuwaache wapige kelele ai nabado sio yaende
Nitajuta ukiondoka, nitajuta
Ongeza sila baba na mama wakupende
Nitajuta ukiondoka, nitajuta
Alafu mimi na wewe wengine wakwende
Usijibanebane we (oh ah)
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Nakupa chanci mama kunipelema
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Chochote fanya mama mi nishapenda
Mtu kunywa kunywa milenda sio ufala ila kupenda
Nzi kufa kwenye kidonda sio ufala ila kupenda
Mtu kunywa kunywa milenda sio ufala ila kupenda
Nzi kufa kwenye kidonda sio ufala ila kupenda
Kaa mbali nami (nimeshapenda)
Kaa mbali nami (nimeshapenda)
Kaa mbali nami (kama kibaka kuomba lifti kwenye defender)
Kaa mbali nami (nimeshakufa)
Kaa mbali nami (nimeshaoza)
Kaa mbali nami (kama kibaka kuomba lifti kwenye defender)
Baby, baby nakupenda sana
Nishike nikushike milele tusije kuwachana
Baby, baby nakupenda sana
Nishike nikushike milele tusije kuwachana
Baki na mimi
Wengine wani mimi
Naogopa maradhi ndio maana niko makini mimi
(Ii-ii)
Nitajuta ukiondoka, nitajuta
Ongeza sila baba na mama wakupende
Nitajuta ukiondoka, nitajuta
Alafu mimi na wewe wengine wakwende
Usijibanebane we (oh ah)
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Nakupa chanci mama kunipelema
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Usijibanebane we
Chochote fanya mama mi nishapenda
How come vimezaliwa vingi vya utamu
(Tika, tika, tika tika, tika tika, tika, tika)
How come vimezaliwa vingi vya utamu (mkubwa na wanawe)
How come vimezaliwa vingi vya utamu (mkubwa na wanawe)
How come vimezaliwa vingi vya utamu
(Tika tika, tika tika, tika, tika, tika, tika)
How come vimezaliwa vingi vya utamu
How come vimezaliwa vingi vya utamu
How come vimezaliwa vingi vya utamu
How come vimezaliwa vingi vya utamu
How come vimezaliwa vingi vya utamu
How come vimezaliwa vingi vya utamu
Lyrics powered by www.musixmatch.com