Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Bright
Performer
COMPOSITION & LYRICS
B-Right
Composer
Lyrics
combination sounds
Bora nilale nje kuliko humu ndani mi sitoweza
maelewano hakuna ukinikosea wataka kubembelezwa
Hivi humu ndani mume nan Ukinikosea huombi samahani
hivi kwan w n mke gani kazi kiburi tu na kisirani
Kwanza nimechoka sana na zako kelele mi nalala bwana
maana unaongea sana kila siku huishi lawama
Ina maana ninanyoongea hayana mana haya ndo matatizo yako mama
au mwenzangu umeshapata kabwana wenda ndio kanakuchanganya
Umebadilika sana aaaaaa Tofauti na nyuma aaaaaa ×2
Hivi we mwanaume unanini Leo umeamka na mimi
Maneno maneno ya nini au unataka visa na mimi iiiii
Na nitaondoka kelele kelele nachoka Usinione mi lofa nakuangalia tu
Mimi sipigi kelele nakurekebisha
ueleww kosa lako ww unapaswa unisikilizeeeee
Mimi si wakula vibandani kama hela mi siachi hapa nyumbani
Hivi kwani we ni mke gani usiejua kunitunza mme ndani
Mbona yako mi siyaongei nayoyasikia hukooo
Au unaona hunikosehi badili mwendo wakoooo
siku ngapi hujalala nyumbani unasingizia kazini
waniacha na watoto nyumbani kumbe unalala jiraniiii anhaaa
Ukweli naujua mimi wala sio wewe
hayo mambo kakwambia nani usiyasikilize
kumbuka tulihapa kwa mananii utakuwa wangu tu
na mambo unayoyafanya hayafanani nakwambia mume wangu
Maumivu ya Penzi hayawezi kupoa kama mwiba unavokuchoma
siwezi kukuacha we ndo mboni yangu unaelifanya jicho kuona
Na nitaondoka kelele kelele nachoka Usinione mi lofa nakuvumilia tu
umebadilika sanaaaaa Tofauti na nyumaaaaa×2
Mi naondoka usiondokee
Nimechokaaaaa usichokeeeeeee
Mi naondoka usiondokee we vumilia sitorudia
Lyrics powered by www.musixmatch.com