Lyrics

Tumekuja ku-party, DJ hebu weka tracky Tukule hepi halafu tufungue sakafu Sababu inabamba, inashika Wingu la tisa inatufikisha Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Boom-ba-boom-ba-ah Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Boom-ba-boom-ba (Ahhh!) Karibia, inakubamba Vipi dada, shake hiyo nanda Ninaku-touch-touch, usi-relax-lax Kwenye dance floor, show us your work-work Unanoki, hauchoki, kwenye dance floor, hautoki Unahisi hii muziki? Unahisi Nameless na mimi? It's Nameless (Ah!) And E-Sir, in conjunction with Ogopa Tumekuja kuhakikisha kwamba speaker zinasikika Hey, you, mister! Are you a member? Hey, you, sister! Wacha kulenga! Can't you see that I'm talking to you? Sasa weka mikono juu! Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Ukikatika na hii ngoma Just be cool as a cucumber (Ahhh!) (Hello, Nameless, uko fresh lakini?) Twende Wewe, yeye, yeye, wewe Vice versa, vile wataka Mister, brother, wacha kuzubaa Ukisleki hautapata Fungua macho, floor ni yako Cheza wimbo kama ni wako Cheza wimbo kama ni wako, sababu huu wimbo ni wako E-Sir, hatucheki na watu Nameless, hatucheki na watu Ma-emcee, hatucheki na watu Ogopa, hatucheki na watu Unahisi hizi flow za Africa? (Uh-huh) Unahisi kama unakatika? (Uh-huh) Can you feel this, front to the rear? (Uh-huh) Can you feel this up in here? Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Ukikatika na hii ngoma Just be cool as a cucumber (Ahhh!) Na tumekuja ku-party, ambia wenzetu, "Samahani" Hawako nasi, hatuko nao, basi wametupa mbao Sababu inabamba, inashika Wingu la tisa inatufikisha Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Boom-ba-boom-ba-ah Boom-boom-ba Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah) Boom-boom-ba Ukikatika na hii ngoma Just be cool as a cucumber (Ah! Ah! Ah! Ah!) Ukikatika na hii ngoma Just be cool as a cucumber (Ahhh!)
Writer(s): David Mathenge Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out