Lyrics

Assalaam ft. Mohammed Almanji - Mbosso Assalamualaikum ya khabibi Assalamualaikum ya khabibi eyotron uhali gani wa Hali nakusalimia wa Hali khabibi wa Hali me mzima wa shwari hofu usiwe na swali moyo umetananariiiih mazoea yamenijengea tabia mwenzako nimelowea Hilo joto joto na harufu yako nimekolea linanizongea jini huna lako chochea upashe Moto Moto mwili wangu wak assalamualaikum assalamualaikum ya khabibi Assalamualaikum ya khabibi mbalamwezi imetanda ishara dunia tulivu jifunge upande kanga mkulima nichume mbivu farasi me wako panda sichoki Sina uvivu deka katoto kachanga upo bahari tulivu nimekosa ndege wa anga namtuma tuyui she kwako kunipamba kwa maneno mazur Khan oooh Sina mganga wa kunipa kiburi sijui kiringe me najua kitanda kuifanyia shughuri assalamualaikum assalamualaikum ya khabibi (Assalamualaikum ya khabibi) assalamualaikum ya khabibi ayolizer
Writer(s): Siraju Amani, Unknown Wtiter Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out