Lyrics

Lele lelelelele lololo Oooh lalalaa Lelelele Lololo Sikia sikia aah sikia moyo Jishike tabia Tulia tulia wee tulia moyo Jichunge tabia Mi nilidhani kazi kusukuma damu Sasa naona mauzauza mambo tofauti Cha kwangu kidogo huridhiki nacho Unapenda vikubwa Utaniponza moyo,moyo Vitamu vinono kutolea macho Utaniponza moyo Wee moyo,moyo,moyo moyo Wengine umefanya wamepotelea jela Sababu yako moyo,moyo,moyo Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa Sababu yako moyo Moyo wangu mie Moyo Punguza Tamaa Moyo Jifunze kuvumilia Moyo Utaniumiza Moyo wangu mie Moyo Kuna kitu unatamaa Moyo Jifunze kutulia Moyo Unataka nipeleka wapi wooo wowo Unataka kushindana na Dunia Oooh na Dunia Usifate ya mitandao kila mutu tajiri Vingine fumbia macho Usitazame muke wa mutu huyo Ridhika ukipatacho Tamaa zako zitaniponza moyo Wengine umefanya wamepotelea jela Sababu yako moyo,moyo,moyo Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa Sababu yako moyo Moyo wangu mie Moyo Punguza Tamaa Moyo Jifunze kuvumilia Moyo Utaniumiza Moyo wangu mie Moyo Kuna kitu unatamaa Moyo Jifunze kutulia Moyo Unataka nipeleka wapi wooo wowo
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out