Top Songs By Abdalla Issa
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Abdalla Issa
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Zanzibar Taarab
Composer
Lyrics
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Aaaaah
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Laghai Laghai nambari wani
Watu wote watu wote wamjua
Jamaa rogi rogi rogi namba wani
Watu wote watu wote wamjua
Wasomi visomo vyenye thamani
Na uzuri na uzuri uso doa
Wamemwacha Wamemwacha mataani
Fungu fungu fungu la kurehemewa
Wasomi visomo vyenye thamani
Na uzuri na uzuri uso doa
Wamemwacha Wamemwacha mataani
Fungu fungu fungu la kurehemewa
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Kwa uzuri gani hasa wa kujishauwa
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Kama wewe kama wewe upendwe nini
Hasa hasa hasa kwa uzuri gani
Kama wewe kama wewe upendwe nini
Hasa hasa hasa kwa uzuri gani
Si wa umbo si wa nywele si wa uyuni
Mbele ziro nyuma hakujulikani
Na uturi vuja wa faradhi ruhameni
Kwenye visura wewe humo hesabuni
Si wa umbo si wa nywele si wa uyuni
Mbele ziro nyuma hakujulikani
Na uturi vuja wa faradhi ruhameni
Kwenye visura wewe humo hesabuni
Ama kweli liakhiri zamani
Si basi tu hii akhiri zamani
Si basi tu hii akhiri zamani
Si basi tu hii akhiri zamani
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Kwa uzuri gani hasa wa kujishauwa
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Tumeshawaona walo wazuri wa kweli
Kila kitu chao wao naturally
Tumeshawaona walo wazuri wa kweli
Kila kitu chao wao naturally
Zunguka bongo uwaone kila mahali
Figa zao za kupigiwa mithali
Sio zumbukuku na shape ya penseli
Tingisha bodi huwezi kustahmili
Pochi wazi kuwa achia halali
Zunguka bongo uwaone kila mahali
Figa zao za kupigiwa mithali
Sio zumbukuku na shape ya penseli
Tingisha bodi huwezi kustahmili
Pochi wazi kuwa achia halali
Huyo ulo nae anajistiri hali
Sibasitu hii akhiri zamani
Sibasi tu hii akhiri zamani
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Kwa uzuri gani hasa wa kujishauwa
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Nimekusudia leo roho nikurushe
Kama unayo presha nikupandishe
Nimekusudia leo roho nikurushe
Kama unayo presha nikupandishe
Huna moja bure usijirembeshe
Kula dongo mimi usinisemeshe
Kaa kando sitaki zako kasheshe
Sijiletelete kwangu usijitakishe
Wala huna ngoma leo acha nikupashe
Huna moja bure usijirembeshe
Kula dongo mimi usinisemeshe
Kaa kando sitaki zako kasheshe
Sijiletelete kwangu usijitakishe
Wala huna ngoma leo acha nikupashe
Kiasi fulani nje akuvurumishe
Sibasi tu hii akhiri zamani
Sibasi tu hii akhiri zamani
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Yeyeye eeh Yeyeye eeee
Si Basi Tu si Basi Tu Sibasi tu
Hivo unadhani kwa yakini watakiwa
Hujui fulani kwamba anakuzuzua
Kwa uzuri gani hasa wa kujishauwa
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Si Basi Tu si Basi Tu si Basi tu
Sibasi tu
Writer(s): Zanzibar Taarab
Lyrics powered by www.musixmatch.com