Top Songs By Wakadinali
Similar Songs
Credits
COMPOSITION & LYRICS
David John Munga
Songwriter
Churchill Oganga Mandela
Songwriter
Lyrics
Uuuuh, yeah yeah yeah
Kama si benzo, mrenga ni beamer
Kama si benzo (yeah yeah)
Kama si benzo (yeah yeah)
Mrenga ni beamer (skrrt)
Akili hailali, akili hailali
Kwani iko nini? (yeah yeah)
Kama si benzo (skrrt)
Mrenga ni beamer
East tuko down, akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Nairobi finesse akili hailali
Akili hailali (akili hailali)
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Tuko East tuko down na akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Akili hailali, akili hailali
Chapa tizi buda ni ka ni fainali
Washa jiji unga ka ni halali
Na ikibidi Uber ka sina rari (yeah yeah)
Hii pesa ninayo ni ya street
Juu ya muziki hainitoshi
Nasepa karao, masnitch
Sijitambulishi na mikosi
Style mbichi sijai fosi
Life in crime sisi na itos
Mblein jiji tunaikoki
Gang gang chain hubidi na floss
Msupa sly ananiatuti aha
Nishagamsuka naachia mbogi
Design ka haijipi naiboza
Walai sifaidiki na hii topic
Yeah mabang'a wako paid
Lawama kwa game hii jiji ni yetu
Kuna fala alinifanya nijam
Akaniomba msamaha na mimi si Yesu
Beamer ikibidi lakini
Nazozanga benz mbili na ni rental
Nina msupa hupenda vitu ndechu
Lakini ni ya gang ni yetu
Kama si benzo (yeah yeah)
Mrenga ni beamer (skrrt)
Akili hailali, akili hailali
Kwani iko nini? (yeah yeah)
Kama si benzo (skrrt)
Mrenga ni beamer
East tuko down, akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Nairobi finesse akili hailali
Akili hailali (akili hailali)
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Tuko East tuko down na akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Jamaa flani juzi alitense
Venye rent ilitry kumpiga maukapi
Nilimnyonga saa hiyo niko mabangi
Mnjoro akafaint pindi tu alimnusia armpit
Na venye nilikuwa nimempigia kambi
Fuck it, manze nafeel nimewaste hiyo dhambi
Police are coming niko like fuck it
I just need some more few seconds
Niko mahali siwezi kubali kutoka bila anything
Juzi nilikalia mbao nikashuta
Nimetoka prosecutor mtanikumbuka
Niliwapora mamilioni wakanishika nikazisunda
Sahii imebaki ni wao kunisuka
No faces kama warges
Ndani ya balaa clover niko missing
Straight deep undercover
Hatupay attention hizo details
Hatuworry about hizo faba za kushikwa
Na mama mzazi hajadishi
Man I saw a brand new car wiki jana ya black
Najua kuna siku nitajizama
Mi ni racist najulikana
But fuck it my dream
Mwage ni ki German
So bro jua
Kama si benzo (yeah yeah)
Mrenga ni beamer (skrrt)
Akili hailali, akili hailali
Kwani iko nini? (yeah yeah)
Kama si benzo (skrrt)
Mrenga ni beamer
East tuko down, akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Nairobi finesse akili hailali
Akili hailali (akili hailali)
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Tuko East tuko down na akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Friendzone kwenye benzo
Kachimamo but ni ka kananyesha
Nairobi finesse, mboka ni mbex
Niliskia mboka ni mbex
Friendzone kwenye benzo
Kachimamo but ni kama kananyesha
Nairobi finesse, mboka ni mbex
Niliskia mboka ni mbex
Kama si hii mziki
Ningekuwanga jiji nikipona masela
Ambia judge akule mafi
Mpaka siku sisi tutaonana tena
Otherwise form ni kuchoma mavela
Kuchoma rada na kuchora vile
Nitapata kiki juu nilisikia siku hizi
Swagga ni kuzoza na benzo
Kama si benzo (yeah yeah)
Mrenga ni beamer (skrrt)
Akili hailali, akili hailali
Kwani iko nini? (yeah yeah)
Kama si benzo (skrrt)
Mrenga ni beamer
East tuko down, akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Nairobi finesse akili hailali
Akili hailali (akili hailali)
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Tuko East tuko down na akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (yeah yeah)
Mrenga ni beamer (skrrt)
Akili hailali, akili hailali
Kwani iko nini? (yeah yeah)
Kama si benzo (skrrt)
Mrenga ni beamer
East tuko down, akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Nairobi finesse akili hailali
Akili hailali (akili hailali)
Kama si benzo (kama si benzo)
Mrenga ni beamer (mrenga ni beamer)
Tuko East tuko down na akili hailali
Kwani iko nini? Kwani iko nini?
Kama si benzo (kama si benzo)
Writer(s): Churchill Oganga Mandela, David John Munga
Lyrics powered by www.musixmatch.com