Lyrics

Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama (FIMBO KAMA KAWA) Dawa (Verce 1) Wakija vibaya Wanakaa Wambea Vikao Watakaa Mawaki nafasi ya kuongea siwapi Huwaga Nawanyanyapaa Nimewapa Nasafi ya Kunijua Jina Wakataka na Nnapokaa Leo Napendwa Sababu Nnacho Nikikosa, Habari zitatapakaa Kung'aa Ndoozeetu Mambo wena Mfwetu Watoto kibao wanalia Dm Sijui Niwagongee Tuu Na nawawashia Full Hauzimi Moto wakiifuu Wanashanga kuona Rapper wakisasa mwenye pigo za kiold Skul Tatizo Hawajulikani Kwa Hivi Nnavyochana Nntabattle na Nani Kwa sasa Michongo yote ya Zamani Naipiga X Kama Petit Man Ni Mimi Tuu na Hizi Stimu za Mjani Chuki ni chuki kwani kitu Gani Acha Utani, Rapper Unayejaribu Kumdiss kwa sasa Hawezekani Si ndotunakimbiza Roho Tunawaumiza Napata kinyaa nikitema yai Sjui yai langu Viza Watu hawaishiwi Visa Ka Natoka Naumiza Kila wanaponiona Camera Kibao wakazani naigiza (Oh My) Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama (FIMBO KAMA KAWA) Dawa (Verce 2) There They Go wanga There they Go Na ukija Kwenye Mziki Mi kisiki U Better know Why Unaniombea Dhiki, dhiki dhiki mwenzakoo Maana ukija kwenye mziki Kila nnachofanya Ni Miracle Marapa Wadogo nawaonea Mi ni kama Gonjwa naenea wanaonijua kitambo wanaelewa Toka enzi za Uongo na Umbea Kwenye Beat hawakai wanaelea Na Ikawe Funzo Buure nawapea nawaambia Ukweli Sitowaongopea Nawaona Kama Choo ndomana Nawanyea Anayewakimbiza katima michano, Kama sio mimi ni nani mwengine Dundo la Paul likipata Verce ya mbuzi siku zote huwaga Mashine Mwendo haupoi Nawakimbiza speed kwenye Kona haishuki Uspime Idadi ya watu wasionikubari Imekuwa ndogo sana Nahitaji Wengine Wanaobana Nawataka wengine hata Wambea Najitaji Wengine Mana zama zimeshabadirika mpaka watoto wanapenda mashine so Ningependa Wachawi Wengine Hata wanoko nipate Wengine masnichii wenginewengine Labda Nkapata Challenge Pengine Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama (FIMBO KAMA KAWA) Dawa
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out